Monday, April 6, 2009
Soundlab studios ready to take over Tanzania
Studio za kisasa za ku rekodi miziki pamoja na matangazo ya biashara(jingles) ,sasa zipo tayari kufanya mabadiliko katika tasnia y aburudani nchini tanzania kutokana na kusheheni vifaa vya kisasa pamoja na wataalam wakali wa masuala ya sound engineering Dj Dexter na Mbezi.Studio hiyo yenye makazi yake Ukonga mombasa jijina dar es salaam inakaribisha wasanii pamoja na wale wote wenye matangazo wakafurahie huduma zao.kwa maelezo zaidi tembelea soundlab.co.tz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment